337 B
337 B
Yakobo akawambia
"Yakobo aliwaambia wafugaji"
Ndugu zangu
Hii ni njia ya upole ya kumsalimia mgeni.
Labani mwana wa Nahori
Hapa "mwana" ina maana ya uzao wa kiume. Maana nyingine yaweza kuwa "Labani mjukuu wa Nahori".
na, tazama pale, Raheli binti yake anakuja na kondoo
"Tazama sasa! Raheli binti yake anakuja na kondoo"