sw_tn/gen/27/46.md

538 B

Nimechoka na maisha

Rebeka anatia chumvi kuweka msisitizo jinsi alivyofadhaishwa kuhusu mwanamke Mhiti ambaye Esau alimuoa. "Nimefadhaishwa sana"

binti za Hethi

"hawa wanawake wahiti" au "vizazi vya Wahiti"

kama wanawake hawa, baadhi ya binti za nchi

Msemo "binti wa nchi" ina maana ya wanawake wenyeji. "kama wanawake hawa wanaoishi katika nchi hii"

maisha yatakuwa na maana gani kwangu?

Rebeka anatumia swali kuweka msisitizo jinsi atakavyofadhaishwa iwapo Yakobo atamuoa mwanamke Mhiti". "Maisha yangu yatakuwa mabaya!"