sw_tn/gen/27/41.md

514 B

Esau akajisemea moyoni

Hapa "moyoni" ina maana ya Esau mwenyewe. "Esau alijisemea mwenyewe"

Siku za maombolezo kwa ajili ya baba yangu zinakaribia

Hii ina maana ya idadi ya siku mtu huomboleza pale ambapo mmoja wa familia anapokufa.

Rebeka akaambiwa maneno ya Esau mwanawe mkubwa

Hapa "maneno" yana maana ya kile Esau alichosema. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu alimwambia Rebeka kuhusu mpango wa Esau"

Tazama

"Sikiliza" au "Vuta nadhari"

anajifariji

"anajifanya ajisikie vizuri"