514 B
514 B
Esau akajisemea moyoni
Hapa "moyoni" ina maana ya Esau mwenyewe. "Esau alijisemea mwenyewe"
Siku za maombolezo kwa ajili ya baba yangu zinakaribia
Hii ina maana ya idadi ya siku mtu huomboleza pale ambapo mmoja wa familia anapokufa.
Rebeka akaambiwa maneno ya Esau mwanawe mkubwa
Hapa "maneno" yana maana ya kile Esau alichosema. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mtu alimwambia Rebeka kuhusu mpango wa Esau"
Tazama
"Sikiliza" au "Vuta nadhari"
anajifariji
"anajifanya ajisikie vizuri"