sw_tn/gen/27/30.md

437 B

ametoka mbele ya Isaka baba yake

"ameondoka tu katika hema la Isaka baba yake"

chakula kitamu

"nyama tamu nayoipenda"

baadhi ya mawindo ya mwanao

Hapa "ya mwanao" ilikuwa njia ya upole ya Esau kumaanisha chakula chake mwenyewe alichokiandaa.

mawindo ya mwanao

Neno "windo" lina maana ya wanyama pori ambao watu huwinda kwa ajili ya kula.

kunibariki

Hii ina maana ya baraka maalumu ambayo baba hutamka kwa watoto wake.