sw_tn/gen/27/22.md

326 B

Yakobo akamkaribia Isaka baba yake

"Yakobo alimkaribia Isaka baba yake"

Sauti ni sauti ya Yakobo

Isaka anafananisha sauti ya Yakobo na Yakobo mwenyewe. "Unasikika kama Yakobo"

lakini mikono ni mkikono ya Esau

Isaka analinganisha mikono ya Esau kwa Esau mwenyewe. "lakini mikono yako inaonekana kama mikono ya Esau"