sw_tn/gen/27/15.md

260 B

Akamvalisha ngozi ya mwanambuzi katika mikono yake

Ngozi ya mbuzi ilikuwa bado ina manyoya juu yao.

Akaweka katika mikono ya Yakobo kile chakula kitamu na mkate aliokuwa ameuandaa.

"Alimpatia mtoto wake Yakobo chakula kitamy na mkate aliokuwa ameandaa"