sw_tn/gen/27/13.md

508 B

Mwanangu, acha laana yoyote iwe juu yangu

"acha laana yako na iwe juu yangu, mwanangu". Kulaaniwa inazungumziwa kana kwamba laana ni kitu kinachowekwa juu ya mtu. "acha baba yako anilaani badala yako, mwanangu"

sikiliza sauti yangu

Rebeka akasema "sauti yangu" kumaanisha kile alichokuwa akizungumza. "utii kile ninachokuambia" au "unitii"

uniletee

"niletee mwanambuzi mchanga"

akaandaa chakula kitamu, kama alichokipenda baba yake

Neno la "kitamu" lina maana ya kitu chenye ladha nzuri sana.