sw_tn/gen/27/11.md

395 B

mimi ni mtu lain

"Mimi ni mwanamume mwenye ngozi laini" au "Mimi sina manyoya"

nami nitaonekana kama mdanganyifu kwake

"na atafikiri ya kwamba mimi ni muongo" au "atajua ya kwamba ninamdanganya"

nitajiletea laana badala ya baraka

Kulaaniwa au kubarikiwa inazungumziwa kana kwamba laana na baraka ni vitu vinavyowekwa juu ya mtu. "Kisha kwa sababu ya hili, atanilaani na hatanibariki"