sw_tn/gen/25/05.md

233 B

Abrahamu akampatia Isaka vitu vyote alivyokuwa navyo

"Isaka alirithi kila kitu alichomiliki Abrahamu". Ilikuwa kawaida kwa baba kugawanya utajiri wake alipokuwa mzee na sio kuacha hivyo kwa wengine kufanya baada ya yeye kufariki.