sw_tn/gen/24/54.md

343 B

yeye na watu aliokuwa nao

"Watumishi wa Abrahamu na wanamume wake"

wakakaa pale mpaka usiku

"walilala pale usiku ule"

walipoamka asubuhi

"waliamka asubuhi iliyofuata"

Niruhusuni niende

"Niruhusu niondoke na kurudi"

kwa siku chache zingine, angalau siku kumi

"angalau siku kumi zaidi"

kumi

"10"

baada ya hapo

"Kisha"