sw_tn/gen/09/26.md

702 B

Maelezo ya Jumla:

Hii ni shairi.

Yahwe , Mungu wa Shemu, abarikiwe

"Yahwe na asifiwe, Mungu wa Shemu" au "Yahwe, Mungu wa Shemu, anastahili sifa" au "Ninamsifu Yahwe, Mungu wa Shemu"

Kanaani na awe mtumishi wake

"Na Kaanani awe mtumishi wa Shemu". Hii inajumlisha uzao wa Kaanani na Shemu.

Mungu na apanue mipaka ya Yafethi

Maana zaweza kuwa 1) "Mungu na afanya mipaka ya Yafethi mikubwa" au 2) "Mungu na asababishe Yafethi kuwa na uzao mwingi"

na afanye makazi yake katika hema za Shemu

"na mfanye aishi kwa amani na Shemu". Hii inajumlisha uzao wa Yafethi na Shemu.

Kanaani na awe mtumishi wake

"Na Kaanani awe mtumishi wa Yafethi". Hii inajumlisha uzao wa Kaanani na Yafethi.