sw_tn/gen/09/20.md

222 B

mkulima

"mtu wa ardhi"

akalewa

"alikunywa divai nyingi sana"

uchi

Maandishi haisemi jinsi gani mwili wa Nuhu ulikuwa uchi alipokuwa amelala kalewa. Mapokeo ya wanawe yalionyesha ya kwamba ilikuwa suala la aibu.