sw_tn/gen/04/25.md

542 B

akamjua

akamjua

na akasema, " Mungu amenipatia mtoto mwingine wa kiume

Hii ni sababu ya yeye kumuita Sethi. Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "na ikaeleza, 'Mungu amenipa mtoto mwingine'"

Sethi

Hili jina linaonekana kama neno la Kiyahudi lenye maana ya "amenipatia"

Mtoto wa kiume alizaliwa kwa Seth

Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "mke wa Sethi alimzalia mtoto wa kiume"

kuliitia jina la Yahwe

Hii ni mara ya kwanza watu wanamuita Mungu kwa jina la Yahwe. Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "kumuabudu Mungu kwa kutumia jina la Yahwe"