sw_tn/gal/06/06.md

1.0 KiB

Mmoja wapo

"Mtu"

neno

Hapa hii ina maana kila kitu ambacho Mungu amesema au ameamuru, kama "neno la Mungu" au "ujumbe wa kweli."

Kila apandacho mtu, ndicho atakachovuna pia

kupanda kunamaanisha kufanya jambo fulani ambalo matokeo yake yanafanana na kitendo chenyewe. kuvuna inawakilisha matokeo ya kile ambacho mtu amefanya. "kama vile mkulima avunavyo matunda ya kile kile alichokipanda. hivyo basi, kila mtu atapata matokeo ya kile anachokifanya.

Mtu ... yake

Paulo habainishi wanaume hapa. AT "mtu ... mtu huyo"

kupanda katika mwili wake

Neno 'mwili' ni lugha ya pich kuonesha asili ya dhambi ya mtu. "hupanda mbegu sawa na matakwa ya dhambi ya asili" Anafanya mambo asili yake ya dhambi anataka kufanya"

atavuna uharibifu kutokana na mwili wake

'Atapokea adhabu kwa ajili ya kile kilichofanywa na mwili wake wenye dhambi '

kupanda katika Roho

"Anafanya mambo ya Roho wa Mungu apendayo"

Atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho

'Kupokea uzima wa milele kama zawadi kutoka kwa Roho wa Mungu'