sw_tn/ezr/04/04.md

777 B

watu katika nchi

"watu ambao walikuwa wakiishi katika nchi wakati ule" ambao ilihusisha wasio wayahudi na wayahundi ambao jamii haikuchukuliwa na Wababeli kifungoni

wakaifanya mikono ya wayahudi kudhoofika

wakawavunja nguvu wayahudi

Wayahudi

watu waliorudi kutoka Babeli na wakaweka makazi katika nchi ya Yuda

kuvuruga mipango yao

"ili kutimiza hilo wayahudi hawakujenga hekalu kama walivyokuwa wamepanga.

waliandika mashitaka dhidi ya wenyeji wa Yuda na Yerusalem

jina "mashitaka" inaweza kutafsiriwa kama kitenzi "kushitaki" na kitendo "kuishi ndani" kuheshimika. Inakupasa kufanya uchunguzi kitu gani ambacho maadui waliwashitaki wayahudi kwa walichokifanya. AT: "waliandika barua ambayo waliwashitaki wale walioishi Yudana Yerusalem kwa kutomtii mfalme"