sw_tn/ezr/02/61.md

653 B

Habaya....Hakosi....Barzilai

majina ya wanaume

kumbukumbu ya kizazi chao

kumbukumbu ambayo ilielezea watangulizi walivyokuwa

hawakuweza kupatikana

"hawakuweza kuyaona majina yao katika kumbukumbu ya makuhani"

waliweza kutolewa kutoka kwa makuhani kama wasiosafi

Hii inaweza kutafsiliwa katika mfumo hai. Majina "Ukuhani" linaweza kutafsiliwa kama kitenzi "kazi kama ya kuhani." AT: makuhani wengine waliwachukulia wao kama wasio safi hawakuwaruhusu kufanya kazi kama makuhani"

wasiosafi

kutokuwa sawa kuwa kuhani

Urimu na Thumimu

vitu viwili kama dai ambavyo kuhani alivitumia kuamua kitu gani ambacho Mungu anataka wao wakifanye