sw_tn/ezk/46/19.md

233 B

ambao ulielekea kaskazini

"ambao ulikuwa malango yao makuu kuelekea kaskazini"

Tazama!

Neno "tazama" hapa linaonyesha kwamba Ezekieli aliona kitu kinacho vutia.

ua wa nje

Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 10:3.