443 B
443 B
Maelezo ya Jumla:
Ezekieli ananena
kama nilivyokuwa nimeamuru
"kama yahwe alivyokuwa ameniamuru kunena."
tazama
Neno "tazma" hapa linaonyesha kwamba ezekieli alishangazwa kwa kile alichokiona.
mishipa
Hii inarejea kwa sehemu za binadamu ambazo ni kama gidamu ngumu na kushika mifupa na misuli pamoja.
Lakini hapakuwa na pumzi juu yao
Hapa "pumzi" inarejea kwa tendo la kupumua. "lakini hawakuwa wanapumua" au "hawakuwa hai"