sw_tn/ezk/30/20.md

987 B

Kisha ikawa

Hili neno limetumika hapa kuonyesha mwanzoni mwa shemu ya kwanza ya hadithi.

katika mwaka wa kumi na moja

Tazama tafsiri yake katika sura ya 26:1.

katika mwezi wa kwanza, siku ya saba ya mwezi

"katika siku ya saba ya mwezi." Hii ni siku ya kwanza ya mwezi ya kalenda ya Kiebrania. Siku ya saba ni karibu na mwanzoni mwa mwzi wa Nne katika kalenda za Magharibi.

neno la Yahwe likaja

Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.

vunja mkono wa Farao

Hapa "mkono" unawakilisha uweza wa mfalme.

Tazama!

Neno "Tazama" Hapa linatuweka macho kwa habari inayoshangaza kwa kile kifuatacho.

Haukufungwa, au kufungwa kwa kitambaa cha bendeji

"Mkono wake haujafungwa na hauna dawa ili uweze kupona"

bendeji

kipande laini ambacho watu huweka juu ya vidonda ili wapone

hivyo basi uweze kuwa imara kushika upanga

Hapa "upanga" unawakilisha uweza wa mfalme katika vita. "hivyo mkono wake hautakuwa hodari kutumia upanga"