sw_tn/ezk/25/01.md

280 B

neno la Yahwe likaja

"Yahwe akanena neno lake."

Mwanadamu

Tazama tafsiri yake katika 2:1.

weka uso wako juu ya

Tazama tafsiri yake katika 4:1.

watu wa Amoni

"uzao wa Amoni" au "wale waishio katika nchi ya Amoni"

na tabiri juu ya

Tazama tafsiri yake katika 4:6.