sw_tn/ezk/22/26.md

239 B

yeye

Hiki kiwakilishi cha jina kinarejea kwa Yerusalemu.

Wamemwaga damu na kuharibu maisha

Haya maneno mawili kimsingi yanamaanisha kitu kimoja na kusisitiza machafuko ambayo wana mfalme wa Yerusalemu wanayoyafanya. "Wanawaua watu"