sw_tn/exo/29/29.md

352 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake

Haya mavazi yalikuwa ni ya kikuhani ni sio ya Aruni peke yake.

wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.

hema ya kukutania

Hili ni jina llingine la maskani.