sw_tn/exo/27/01.md

537 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

urefu wake dhiraa tano na upana wake dhiraa tano

"mita 2.2 kila upande"

madhabahu itakuwa mraba na kwenda juu kwake kutakuwa dhiraa tatu

"madhabahu itakuwa mraba na mita 1.3 kwenda juu"

dhiraa

dhiraa ni sentimita 46

Nawe fanya pembe nne kama mfano wa pembe za ng'ombe

"Nawe fanya muonekano wake kama pembe za ng'ombe katika miisho yake"

pembe zitakuwa

Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji

utayafunika

" lazima ifunike madhabahu na pembe"