sw_tn/exo/05/19.md

318 B

walipo ambiwa

Hii yaweza andikwa katika sentensi tendaji.

jumba

Hii ni nyumba kubwa sana mfalme anayo ishi.

mmetufanya chukizo

Wamisri wali wajibu Waisraeli kama walivyo kuwa wakijibu wanapo sikia harafu chafu.

wameweka upanga mkononi mwetu kutuua

Hapa "upanga" wawakilisha nafasi ya kuteketeza maadui.