sw_tn/exo/05/06.md

226 B

wasimamizi

"waendesha watumwa" Hawa walikuwa Wamisri ambao kazi yao ilikuwa kuwalazimisha Waisraeli kufanya kazi ngumu.

wewe haupaswi kutoa tena

Neno "wewe" katika hii mistari ni wingi na ya husu wasimamizi na mabwana.