sw_tn/exo/01/15.md

309 B

mfalme wa Misri

Wafalme wa Misri aliitwa Farao.

wakunga

Hawalikuwa wanawake waliyo wasaidia mwanawake kuzaa mtoto.

Shifira ... Pua

Haya ni majina ya wanawake wa Kiebrania.

katika kiti cha kujifungulia

Wanawake waliketi kwenye ichi kiti walipo jifungua. Hivyo basi, ina hashiriwa na kujifungua.