sw_tn/eph/04/25.md

541 B

Wekeni mbali uongo

"Lazima mwache kusema uongo"

Mnene ukweli, kila mmoja na jirani yake

"Waamini lazima wanene ukweli kwa majirani zao"

Sisi ni wajumbe kila mmoja kwa mwingine

"Sisi sote ni wajumbe wa familia ya Mungu"

Mwe na hasira, lakini msitende dhambi

"mnaweza kukasirika, lakini msitende dhambi"

Msiliruhusu jua kuzama mkiwa na hasira zenu

"Lazima mwache kuwa na hasira kabla usiku haujaingia" au "muiondoe hasira yenu kabla ya siku haijaisha"

msimpe ibilisi nafasi

"Msimpe ibilisi fursa ya kukupeleka dhambini"