sw_tn/eph/04/11.md

814 B

Kristo alitoa karama kama hizi

"Kristo alitoa karama kwa kanisa kama hizi"

kuwawezesha waamini

"kuwaanda waamini" au "kuwapatia waamini"

Kazi ya huduma

"kuwahudumia wengine"

Kwa ajili ya ujenzi wa mwili wa Kristo

Hii inalinganishwa ukuaji wa kiroho kwa kufanya mazoezi kuongeza nguvu ya mwili wa binadamu."

kuujenga

"uboreshaji"

mwili wa Kristo

"mwili wa Kristo" wa husu waumini mmoja mmoja wa mwili wa Kristo.

Kuufikia umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu

Maarifa ya Yesu Kristo kama mwana wa Mungu ni ya mhimu katika kuufikia umoja wa imani na ukomavu kama waamini.

Kufikia umoja wa imani

"kuwa na usawa wa nguvu katika imani"

Mwana wa Mungu

Hiki ni cheo mhimu cha Yesu.

Kuwa wakomavu

AT: "Kuwa waamini waliokomaa"

mkomavu

"mtu mzima," "amekuwa," au "mkamilifu"