sw_tn/ecc/12/10.md

783 B

Maneno ya watu wenye hekima ... yamefundishwa na mchungaji mmoja

Mwandishi anamfananisha mwalimu anayetumia maneno yake kuelekeza watu na mchungaji anayetumia vifaa vyake kuongoza kundi lake.

Maneno ya watu wenye hekima ni kama mchokoo

"Watu wenye hekima wanatutia moyo kutenda, kama fimbo iliyochongoka inavyo watia hamasa wanyama kusogea.

Kama misumari ilivyogongomewa kwa undani, ndivyo yalivyo maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao

"Kama vile unavyoweza kuutegemea msumari uliozamishwa chini, ndivyo unaweza kutegemea mithali zilizoandikwa na watu wenye hekima."

maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao

"maneno ya wale ambao ni mahiri katika mikusanyiko ya mithali"

yamefundishwa na mchungaji mmoja

"ambayo mchungaji mmoja anafundisha"