sw_tn/ecc/08/05.md

247 B

Moyo wa mwenye hekima hutambua

"moyo" unamaanisha mawazo. "Mtu mwenye hekima anatambua"

Ni nani awezaye kumwambia nini kinacho kuja?

Swali hili linasisitiza kuwa hakuna ajuaye kitakachotokea baadaye. "Hakuna awazaye kumwambia kinachokuja."