sw_tn/ecc/02/24.md

236 B

ukweli huu unatoka kutoka mkononi mwa Mungu

"ukweli huu unatoka kwa Mungu"

Kwa kuwa ni nani anaweza kula au anaweza kupata furaha yoyote tofauti na Mungu?

"Kwa kuwa hakuna awezaye kula au kuwa na furaha yoyote tofauti na Mungu."