sw_tn/dan/11/44.md

615 B

Maelezo ya jumla

Hii bado inamhusu mfalme wa Kaskazini.

naye atatoka akiwa mwenye hasira nyingi

Nomino dhahania "hasira" yaweza kuelezwa kwa neno "ghadhabu" Yaweza kuelezwa wazi kwamba ataenda nje pamoja na jeshi lake.

atatoka

Hapa inawakilisha kitendo cha kuwashambulia maadui.

na kuwahifadhi kwa ajli ya uharibifu

"Kuwaharibu watu wengi"

hema ya makao yake

Hii inarejelea hema za starehe za mfalme ambazo aliishi ndani yake wakati alipokuwa pamoja na jeshi lake katika wakati wa vita.

milima ya uzuri wa utakatifu

Hii inarejelea mlima wa Yerusalemu mahali ambapo hekalu la Mungu lilikuwa.