390 B
390 B
utambuzi na ufahamu
Maneno "utambuzi na ufahamu" yanamaanisha kitu kile kile na yanatia mkazo kwamba Gabrieli atamsaidia Danieli kuuelewa ujumbe.
amri ilitolewa
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu alitoa amri"
tafakari neno hili
Mahali hapa "neno" linarejelea ujumbe wote. "firikiria juu ya ujumbe huu"
ufunuo
Hii inarejea nyuma kwa unabii wa Yeremia katika 9:1