923 B
923 B
Maelezo ya jumla
Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli.
Kwa kuwa chini ya mbingu yote ...... na kile kilichofanyika huko Yerusalemu
Danieli anatia chumvi kuonesha huzuni yake kubwa juu ya Yerusalemu. Miji mingi imekwisha haribiwa kweli.
haijawahi kufanyika kitu chochote
"hakuna kilichofanyika"
kile kilichofanyika huko Yerusalemu
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Kile mlichokifanya katika Yerusalemu"
kama ilivyoandikwa kwenye sheria ya Musa
Muundo tendaji waweza kutumika. " Kama Musa alivyoandika katika sheria"
kugeuka na kuacha maovu yetu
Kuacha matendo mabaya kunasemwa kana kwamba ni kugeuka kutoka katika uovu. "kuacha matendo yetu mabaya"
Yahweh ameyaweka tayari maafa
"Yahweh amekwisha kuandaa majanga"
bado hatujaitii sauti yake.
mahali hapa "sauti" inarejelea mambo ambayo Yahweh alikuwa ameyaagiza. "hatujafanya yale uliyotuambia tuyafanye"