741 B
741 B
Maelezo ya jumla
Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli.
Kwa Bwana Mungu wetu kuna huruma na msamaha
Kuwa na sifa hizi kunasemwa kana kwamba kumilikiwa na Bwana. "Bwana Mungu wetu ni mwenye huruma na msamaha."
Hatujaitii sauti ya Yahweh
Mahali "sauit'' inarejelea maagizo ambayo Yahweh aliyasema. "hatujatii kile ambacho Yahweh ametuambia kukifanya"
kugeukia upande,
Maneno "kugeukia upande" yana maana kwamba Israeli iliacha kuzitii sheria za Mungu.
vilivyoandikwa katika sheria ya Musa
Maneno haya yaweza kuandikwa kwa muundo tendaji. "ambavyo Musa aliyaandika katika sheria"
zimemwagwa juu yetu
Wingi wa laana na kiapo vinasemwa kana kwamba yalikuwa ni maji yamemwaga. "Umeleta juu yetu"