684 B
684 B
Maelezo ya jumla
Danieli anaendelea kumwomba Bwana kwa ajili ya watu wa Israeli.
Kwako Bwana, kuna uadilifu
Nomino dhahania "uadilifu" yaweza kuelezwa kwa kutumia kitenzi. "Bwana, wewe unatenda kwa uadilifu"
Hata hivyo, kwetu kuna aibu katika nyuso zetu, kwa..
Nomino dhania "aibu" yaweza kuelezwa kama kitenzi. "Lakini kwetu, tumeaibika kwa ajili ya hayo ambayo tumeyatenda"
kwetu sisi
neno "sis" linamjumuisha Danile na waisraeli, lakini halimjumuishi Mungu.
kuna aibu katika nyuso
Nahau hii ina maana ya aibu yao inaonekana kwa watu wote.
kwasababu ya udanganyifu mkubwa tulioufanya
"kwa kuwa tumekusaliti wewe " au "kwasababu tumekuwa si waaminifu kwako"