sw_tn/dan/07/25.md

1.4 KiB

Maelezo ya jumla

Mtu ambaye Danieli alimwona katika maono anaendele kuongea na Danieli.

Maelezo ya jumla

vifungu vingi vya mistari ya 23-27 vinatumia lugha ya picha.

Atazungumza maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu sana

Hii ina maana kwamba mfalme mpya ajaye atamkataa wazi wazi na kusema maneno mabaya juu ya Yeye aliye juu sana.

Atajaribu.....katika mikono yake.

Kiwakilishi "a" na kimilikishi "yake" vinamrejelea mfalme mpaya, siyo Yeye aliye juu sana.

watu watakatifu

Watu wakatifu wa Mungu

kuzibadili sikukuu na sheria.

Maneno yote rana rejelea sheria za Musa. Sikukuu zilikuwa nia muhimu katika masuala ya kidini katika Israeli katika Agano lake.

Mambo haya atapewa mikononi mwake

hapa maneno "mkono wake" inarejelea utawala. Hii yaeza kuelezwa kwa muundo tendaji " Mfalme mpya atatawala sikukuu zote za dini na sheria.

mwaka mmoja, miaka miwili na nusu mwaka.

Hii ina maana ya "miaka mitatu na nusu" Hii si njia ya kawaida ambayo Waisraeli walitumia katika kuhesabu.

mahakama kitaitishwa

Hii ina maana kwamba hakiku atakuwa tayari kuchunguza ushahidi na kufanya hukumu yake.

watazichukua nguvu zake za kifalme

Wanachama katika mahakama watazitwaa nguvu zake za kifalme kutoka mfalme mpya.

nguvu za kifalme

Hii inarejelea "mamlaka"

aweza kuharibiwa na kuteketezwa

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "na kuharibu na kuangamiza mwishoni"