1.0 KiB
1.0 KiB
Maelezo ya jumla
Vifungu vingi vya mistari ya 23-27 ni lugha ya picha.
Hiki ndicho mtu yule alichokisema
Huyu niNa kuhusu pembe kumi mtu ambaye Danieli alimkaribia katika 7:15
mtu yule alichokisema
mtu yule alijibu
Kwa habari ya mnyama wanne...Na kuhusu pembe kumi
"kuhusu mnyama wa nne...kuhusu pembe kumi"
Utaimeza ..... vipande vipande
Hii haina manna kwamba ufalme wa nne utaiharibu sayari, bali ni kwamba utashambulia, kushinda na kuharibu falme zingine zote za duniani.
kutoka katika ufalme huu, wafalme kumi watainuka
Watatawala mmoja baada ya mwingine. Hii yaweza kuwekwa wazi. "wafalme kumi watautwala ufalme wa nne, mmoja baada ya mwingine"
mwingine atainuka baada yao
Mfalme huyu si mmoja wa wale kumi. Ni vizuri kumrejelea kama mfalme wa kumi na moja.
Atakuwa wa tofauti na wale waliomtangulia,
"atakuwa tofauti na waflme wengine kumi"
atawashinda wale wafalme watatu
Atawashinda wafalme halisi watatu. inaeza kusaidia kueleza kuwa wale wafalme watatu wanawakilishwa ba pembe tatu zilizong'olewa.