sw_tn/dan/07/15.md

731 B

roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu, na maono niliyoyaona katika akili zangu yalinisumbua.

Virai hivi viwili vinaelezea jinsi Danieli alivyokuwa akijisikia. Kirai cha pili kinatoa maelezo ya ziada juu ya kirai cha kwanza, kikieleza juu ya roho inayosumbuka.

roho yangu ilihuzunishwa ndani yangu

Mahali hapa maneno "roho yangu" inamrejelea Danieli mwenyewe. "Nilikuwa na huzuni ndani yangu"

mmoja wa hawa walikuwa wamesimama hapo

Huyu ni moja wa viumbe vya mbinguni aliyekuwa amesimama mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Maana zinazokubalika 1) hawa ni malaika, roho zinazomtumikia Mungu 2) hawa ni watu walikwisha kufa na sasa wako mbinguni.

anioneshe

"kuniambia mimi"

mambo haya

"mambo niliyokuwa nimeyaona"