walimleta ndani Danieli
"wanajeshi wake walienda na kumleta Danieli"
tundu la simba
Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa.
Mungu wako..... na akuokoe
Mfalme anaelezea matakwa yake kwa ya Mungu kumwokoa Danieli.
akuokoe
"kukuokoa kutoka katika simba"