sw_tn/dan/06/13.md

483 B

Mtu yule Danieli

Hii si njia ya heshima ya kumzungumzia Danieli. Walitumia maelezo haya kimakusudi ili kutompa Danieli heshima aliyostahili kama mtawala mkuu.

ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda,

"ambaye ni mhamiaji kutoka Yuda"

hakutii wewe

Hii ni nahau inayoonesha kuwa anakatalia Mfalme "Hakutii wewe"

, alitumia akili

Mahali hapa neno "akili"linarejelea fikra zake.

Alisumbuka sana

Hii inarejelea masumbuko ya kiakili badala ya masumbuko ya kimwili.