483 B
483 B
Mtu yule Danieli
Hii si njia ya heshima ya kumzungumzia Danieli. Walitumia maelezo haya kimakusudi ili kutompa Danieli heshima aliyostahili kama mtawala mkuu.
ambaye ni mmoja wa watu wa mateka kutoka Yuda,
"ambaye ni mhamiaji kutoka Yuda"
hakutii wewe
Hii ni nahau inayoonesha kuwa anakatalia Mfalme "Hakutii wewe"
, alitumia akili
Mahali hapa neno "akili"linarejelea fikra zake.
Alisumbuka sana
Hii inarejelea masumbuko ya kiakili badala ya masumbuko ya kimwili.