468 B
468 B
Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria
Ni muhimu katika habari hii kueleza wazi kwamba Daniel alijua juu ya sheria mpaya kabla hajamwomba Mungu.
madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu
Haya ni maelezo ya muhimu ambayo yanaelezea jinsi maadui wa Danieli walijua kuwa Danieli alikuwa akiomba kwa Mungu wake.
kushukuru mbele ya Mungu wake,
"alitoa shukrani kwa Mungu wake"
hila
mpango wenye kusudi ovu