sw_tn/dan/06/10.md

468 B

Danieli alipojua kuwa nyaraka imekwisha kusainiwa kuwa sheria

Ni muhimu katika habari hii kueleza wazi kwamba Daniel alijua juu ya sheria mpaya kabla hajamwomba Mungu.

madirisha yake katika chumba cha juu yalikuwa wazi kuelekea Yerusalemu

Haya ni maelezo ya muhimu ambayo yanaelezea jinsi maadui wa Danieli walijua kuwa Danieli alikuwa akiomba kwa Mungu wake.

kushukuru mbele ya Mungu wake,

"alitoa shukrani kwa Mungu wake"

hila

mpango wenye kusudi ovu