sw_tn/dan/06/08.md

249 B

Sentensi kiunganishi

Katika mstari wa 8, watawala wanaendelea kuongea na mfalme

kama ilivyoelekezwa katika sheria

"kutokana na sheria"

haiweze ikabatilishwa

"haiwezi kusitishwa"

kuifanya amri kuwa sheria

"kulifanya agizo kuwa sheria"