sw_tn/dan/04/33.md

491 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza

Agizo hili kinyume na Nebukadneza lilitekelezwa ghafla

Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Amri hii iliyo kinyume na Nebukadneza ilitokea ghafla"

Aliondolewa miongoni mwa watu

Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu walimfukuzia mbali mfalme atoke kwao"

makucha yake yalikuwa kama makucha ya ndege

"Makucha yake ya vidole yalionekana kama makucha ya ndege"