624 B
624 B
Maelezo ya jumla
Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza
Wakati maneno yakali katika midomo ya mfalme
Nahau hii ina maana kwamba wakati mfalme akiwa akiongea
sauti ilisikika kutoka mbinguni
"alisikia sauti kutoka mbinguni"
"Mfalme Nebukadneza.... umeondolewa kutoka kwako
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mfalme Nebukadneza, amri imetoka kinyume na wewe kuwa ufalme huu si miliki yako"
Utafukuziwa mbali kutoka miongoni mwa watu
Kauli hii yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "Watu watakufukuza uende mbali nao"
mtu yeyote amtakaye
"Yeyote amchaguaye"