sw_tn/dan/04/26.md

605 B

Maelezo ya jumla

Mistari ya 19-33 inatumia nafsi ya tatu kuelezea hukumu ya Nebukadneza

mbingu inatawala

Mahali hapa neno "mbingu" linamrejelea Mungu ambaye anaishi mbinguni. "Mungu wa mbingu ni mtawala wa wote"

ushauri wangu na ukubalike kwako

Maneno haya yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. " tafadhali pokea ushauri wangu"

Geuka uache uovu wako

kukataa uovu kunasemwa kna kwamba ni kugeuka na kuuacha.

walioonewa

Nomina kivumishi hiki kinarejelea watu walioteswa

na itakuwa kwamba mafanikio yako yataongezwa

Muundo tendaji waweza kutumika. "Mungu aweza kuongeza mafanikio yako"