537 B
537 B
Maelezo ya jumla
katika mstari 1-18, Nebukadneza anaelezea maono yake kutoka kwa Mungu kwa kutumia nafsi ya kwanza.
huitwa Belteshaza
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambaye nilimwita Belteshaza."
Belteshaza
Hili ni jina ambalo Wababeli walimpa Danieli.
roho ya miungu watakatifu
Nebukadneza aliamini kwamba nguvu za Danieli zilitokana na miungu ya uongo ambayo Nebukadneza aliiabudu.
hakuna siri iliyo ngumu kwako
tungo hii yaweza kuelezwa kwa kauli ya kukubali. "wewe unafahamu maana ya kila siri"