sw_tn/dan/04/07.md

537 B

Maelezo ya jumla

katika mstari 1-18, Nebukadneza anaelezea maono yake kutoka kwa Mungu kwa kutumia nafsi ya kwanza.

huitwa Belteshaza

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambaye nilimwita Belteshaza."

Belteshaza

Hili ni jina ambalo Wababeli walimpa Danieli.

roho ya miungu watakatifu

Nebukadneza aliamini kwamba nguvu za Danieli zilitokana na miungu ya uongo ambayo Nebukadneza aliiabudu.

hakuna siri iliyo ngumu kwako

tungo hii yaweza kuelezwa kwa kauli ya kukubali. "wewe unafahamu maana ya kila siri"