sw_tn/dan/03/15.md

1005 B

sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki

Hivi ni vyombo au ala za Muziki

kuanguka chini na kuisujudia wenyewe

Haya ni matendo yanayoashiria ibada.

mambo yote yatakuwa mazuri

"hapatakuwa na shida zaidi' au "mtakuwa huru kwenda"

sanamu ile ambayo nimeitengeneza,

Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge"

mtatupwa mara katika tanuru la moto

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wanajeshi wangu

mtatupwa mara katika tanuru la moto

hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wanajeshi wangu watawatupeni ninyi katika moto uwakao."

tanuru la moto

Hiki ni chumba kikubwa chenye moto

Ni mungu gani.... katika mikono yangu?"

Mfalme hatarajii jibu. Anawatisha vijana watatu. "Hakuna mungu awezaye kuwaokoeni katika nguvu zangu"

kutoka katika mikono yangu

Mahali hapa neno "mikono" lina maana ya nguvu, mamlaka ya kuhukumu.