1005 B
1005 B
sauti pembe, filimbi, ala za muziki, zeze, vinumbi na zumari, aina zote za muziki
Hivi ni vyombo au ala za Muziki
kuanguka chini na kuisujudia wenyewe
Haya ni matendo yanayoashiria ibada.
mambo yote yatakuwa mazuri
"hapatakuwa na shida zaidi' au "mtakuwa huru kwenda"
sanamu ile ambayo nimeitengeneza,
Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge"
mtatupwa mara katika tanuru la moto
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wanajeshi wangu
mtatupwa mara katika tanuru la moto
hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "wanajeshi wangu watawatupeni ninyi katika moto uwakao."
tanuru la moto
Hiki ni chumba kikubwa chenye moto
Ni mungu gani.... katika mikono yangu?"
Mfalme hatarajii jibu. Anawatisha vijana watatu. "Hakuna mungu awezaye kuwaokoeni katika nguvu zangu"
kutoka katika mikono yangu
Mahali hapa neno "mikono" lina maana ya nguvu, mamlaka ya kuhukumu.