sw_tn/dan/03/13.md

773 B

alijawa na hasira na ghadhabu

Hasiria na ghadhabu ya mfalme Nebukadneza ilikuwa ni kubwa na ya kwamba inaongelewa kana kwamba ilikuwa imemjaa. Mahali hapa maneno "hasira na ghadhabu" yanamaanisha kitu kile kile na yametumika kuonesha mkao juu ya vile mfalme alivyokasirishwa.

Shadraka, Meshaki na Abednego

Haya ni majina ya Kibabeli ya marafiki watatu wa Kiyahudi wa Danieli.

Je mmejipanga katika akili zenu

hapa neno "akili" linarejelea juu ya kufanya maamuzi. Ni nahau yenye maana ya kuamua kwa dhati.

kuisujudia wenyewe

Hili ni tendo la ishara ya kuabudu.

sanamu ile ya dhahabu ambayo nimeiweka

Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge"