sw_tn/dan/03/03.md

619 B

magavana wa majimbo, magavana wa mikoa, na magavana

Angalia ulivyotafsiri katika 3:1

sanamu ambayo Nebukadneza aliyokuwa ameiweka

hii inamhusu Mfalme Nebukadneza ambaye aliweka sanamu iliyojengwa kana kwamba alijijenga mwenyewe. "Sanamu ambayo Nebukadneza aliwaagiza watu wake kuiweka."

mtangazaji

Huyu mtu ni mjumbe maalumu wa mfalme

mmeamriwa

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mfalme anawaagizeni ninyi"

zeze

Hivi ni vyombo vya muziki ambavyo ni sawa na vinubi. Muundo wake ni wa pembe tatu na vina nyuzi nne.

kuanguka na kuisujudia ninyi wenyewe

Haya ni matendo ya alama ya kuabudu.